Facebook Comments Box

Wednesday, February 6, 2013

MCHORAJI WA KIJIJI CHA NGURUKA WILAYANI UVINZA MKOANI KIGOMA

Mchoraji wa picha mbali mbali,Sudi Amani mkazi wa Kijiji cha Nguruka,Wilayani Uvinza mkoani Kigoma akichora ubao wa kutambulisha Shule ya Sekondari Nguruka,iliopo mkoani humo kama alivyokutwa na kamera yetu.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU