![]() |
| Ngassa akimtoka beki wa Libolo, Antonio Cassule |
![]() |
| Haruna Chanongo wa SImba akipasua katikati ya wachezaji wa Libolo |
![]() |
| Ngassa akimtoka Cassule |
![]() |
| Ngassa na Cassule |
![]() |
| Kiungo wa Simba SC, Amri Kiemba (kushoto) akiwania mpira dhidi ya beki wa Libolo, Pedro Ribeiro kulia |
![]() |
| Simba na Libolo wakiingia uwanjani |
![]() |
| Kikosi cha Libolo leo |
![]() |
| Simba wakiomba dua na nyuma yao ni Libolo pia wakiomba dua |
![]() |
| Kikosi cha Simba SC leo |
![]() |
| Wachezaji wa Simba SC wakiwapungia mikono mashabiki wao kabla ya mechi |
![]() |
| Mrisho Ngassa akipiga krosi baada ya kufanikiwa kumtoka beki wa Libolo |
![]() |
| Kipa wa Simba, Juma Kaseja akienda kuokota mpira nyavuni baada ya Libolo kufunga bao |
![]() |
| Libolo wakiwapungia mikono mashabiki wao baada ya mechi kuwashukuru kwa kuwashangilia |
![]() |
| Haruna Moshi 'Boban' (kushoto) akipiga shuti mbele ya beki wa Libolo |
![]() |
| Beki wa Simba, Juma Nyosso akimiliki mpira mbele ya beki wa Libolo |
![]() |
| Haruna Chanongo akipasua katikati ya mabeki wa Libolo |
![]() |
| Kiungo wa Libolo, Manuel Lopez akiondoka na mpira baada ya kumzidi maarifa Mwinyi Kazimoto wa Simba SC |
![]() |
| Manuel Lopez kulia akigombea mpira na Mwinyi Kazimoto wa Simba SC kushoto |
![]() |
| Mwinyi Kazimoto akigombea mpira wa juu na kiungo wa Libolo |
![]() |
| Beki wa Simba SC, Shomary Kapombe akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Libolo |
![]() |
| Haruna Moshi 'Boban' akimtoka beki wa Libolo |
![]() |
| Amri Kiemba akimtoka beki wa Libolo |
![]() |
| Mwinyi Kazimoto wa Simba akigombea mpira wqa juu na kiungo wa Libolo |
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
.jpg)
























