Facebook Comments Box

Thursday, January 24, 2013

TIMU YA SIMBA YAWASILI SALAMA KUTOKA OMAN

Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, baada ya kuwasili wakitokea Oman walipoweka kambi ya wiki mbili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.


Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere,
Nahodha wa Simba SC, Juma Kaseja akizungumza na shabiki wa timu hiyo, Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam 
Wachezaji wakmiwa kwenye basi lililowapakia kuwapeleka kambini

Mwanachama wa Simba, Makoye akimlaki Kocha Mfaransa Patrick Liewig

Kipa wa Simba SC, Abbel Dhaira akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere
Kiungo wa Simba SC, Mussa Mudde akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere,.
Mshambuliaji wa Simba SC, Felix Sunzu akitoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere,
Mudde ..

Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo akitoka kwa furaha, 

Kaburu akimlaki Komabil Keita


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU