Facebook Comments Box

Friday, January 18, 2013

THEO WALCOTT AONGEZA MKATABA WA MIAKA MITATU NA NUSU ARSENAL

Baada ya malumbano ya muda mrefu mchezaji Theo walcott ameamua kukubali kuongeza mkataba na Arsenal kwa muda wa miaka mitatu na nusu. Katika mkataba huo mchezaji huyo atakuwa akilipwa Paund 100,000 kwa wiki ambazo ni zaidi ya milioni miambili hamsini za tanzania. Mchezaji huyo alikataa kuongeza mkataba wa miaka mitano ambao ungempa paund 70,000 kwa mwezi. Mbali na mihele yote hiyo mchazaji huyo amepewa na bonasi ya paundi milioni 3 kwa ajili ya kuongeza mkataba huo. Imeichukua Arsenal mwezi mzima wa malumbano na mchezaji huyo kupata saini yake.

Baada ya kupata saini ya mchezaji huyo kocha wa Arsena alisema "We are all delighted that Theo has signed a new contract. He joined us as a 16-year-old and since then has developed very well to become an extremely important player for both Arsenal Football Club and England." akiwa anaelezea furaha yake na klabu kwa ujumla kwa mchezaji muhimu ambae alijiunga kilabuni hapo akiwa na miaka 16 mpaka sasa amekuwa muhimu kwa kilabu na timu ya taifa ya uingereza

Nae Theo alisema "I am very happy to have signed a new contract here at Arsenal. Thanks to everyone for their continued support, especially the manager, everyone at the club and most importantly the fans. I have made it clear from the start that I wanted to stay at Arsenal so I am pleased we have agreed a deal that everyone is happy with. What’s important now is for the team to realise its potential and win trophies.” Akionesha furaha yake baada ya kuweka saini na kuonesha nia ya kutafuta makombe katika kilabu hicho kilichopatwa na ukame wa makombe

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU