Facebook Comments Box

Friday, January 18, 2013

SIMBA WAFANYA BONGE LA SHOW LA BONGO FLEVA WAKATI WA TAFRIJA YAO

Hapa wakimwaga burudani najua unaijua ile staili ya wazee wa Bongo Fleva "Piga keleleeeeeeeeeee"

Kwa show nzuri ilibidi mama aende kuwatunza.


Mdhamini wa safari ya Simba Rahma jana aliwaalika Simba nyumbani kwake eneo la Al Kheri jijini Muscat, Oman jana usiku kwa ajili ya chakula cha usiku.
Walikula pamoja na baadaye bendi maalum kutoka Tanzania iliwapigia muziki na wakaserebuka pamoja huku Rahma akimwaga noti kama maji.

Katika hafla hiyo, Rahma alikabidhiwa jezi ya Simba na Musleh Rawah ambaye ni mmoja wa wadau wa Msimbazi na jezi ya timu ya taifa ya Oman na kocha wa makipa wa timu hiyo, Haroun Amur.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU