Facebook Comments Box

Saturday, January 19, 2013

SIMBA YACHEZEA KICHAPO CHA 3 KWA 1

 Mabingwa wa soka Tanzania Bara,Simba wameshindwa kutamba mbele ya Wenyeji wao mara baada ya kufungwa mabao 3-1 katika mechi ya kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya Jeshi la Oman. mechi hiyo ilichezwa Ijumaa jioni kwenye uwanja wa Qaboos Complex jijini Muscat.
bao la simba lilifungwa katika kipindi cha pili na Haruna Moshi 'Boban' huku Mwenyekiti wa Simba,Ismail Aden Rage akiwa jukwaani pamoja na viongozi wengine wa simba, Rahma Al Kharoos na Musleh Rawahi pamoja na Kocha Talib Hilal wakiishuhudia Simba ikizama mbele ya wanajeshi hao

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjlRCm9tsdl0GuqK8TLbE1shCvEZJgJ5ZlH_m5XkhR1hTThltEl1Xt8bq8XcTQF75XYFCL6no8X9TueY_JkNVtYjykqNT-6pBUZ_PX-fKmeb_-wQHsscSKl5YQpRPaAvlNjUKfcBaSRVcQ/s1600/rAGE.JPGMwenyekiti wa Simba na Mfadhili wa safari ya Simba Rahma Al Kharoos akiangalia timu ya Simba ikipokea kichapo

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU