Facebook Comments Box

Saturday, January 19, 2013

SAEED KUBENEA KUGOMBEA UBUNGE 2015

Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwanahalisi Saed Kubenea, inasemekana amejipanga kugombea Ubunge Jimbo la Kibaha Mjini kupitia CHADEMA mwaka 2015. kwa hivi sasa Jimbo hilo linaongozwa na Silvestry Koka [CCM].
Saeed Kubenea ameshauriwa na Dr Slaa agombee ubunge na CHADEMA itampa sapoti katika hilo na amemuhakikishia kuwa atashinda


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU