Didier
 Kavumbagu (kushoto) akijaribu kumtoka beki wa Black Leopards, wakati wa
 Mchezo huo, uliomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar 
es Salaam.
Wachezaji wa Yanga, wakishangilia bao lililofungwa na Jerry Tegete.
jj
 Kikosi
 cha Yanga. 
 Kikosi cha Black Leopards.
 Mchezaji
 wa Yanga, Kabange Twite (kushoto) akimiliki mpira huku akidhibitiwa na 
beki wa Black Leopards, Nkosiabo Xakane, wakati wa mchezo huo.
Mashabiki wa Yanga, wakishangilia bao lililofungwa na Jerry Tegete. (PICHA NA SUFIANI MAFOTO)
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog





