Facebook Comments Box

Saturday, January 26, 2013

SIMBA, COASTAL UNION, AZAM ZAUA - MTIBWA YAPIGWA KWAO MANUNGU


Ngassa akipiga pushapu za kutambaa baada ya kufunga bao la tatu, aliyesimama jirani yake ni Haruna Chanongo na kushoto ni kipa Abdul Seif akitahari


Ngassa akiwa amejilaza kwenye nyavu baada ya kufunga.
Simba ya Dar es Salaam leo imeanza vyema mzunguko wa pili wa kuutetea ubingwa wao wa ligi kuu ya Tanzania bara baada ya kuichapa mabao 3-1 African Lyon katika dimba la uwanja wa taifa.
Pamoja na mechi ya Simba pia leo kulikuwa na mechi nyingine za ligi kuu ya bara na matokeo yalikuwa kama ifuatavyo

RUVU SHOOTING 1-0 JKT RUVU
 OLJORO 3-1 TOTO AFRICAN
 AZAM FC 3-1 KAGERA SUGAR
 MTIBWA SUGAR 0-1 POLISI MORO
 COASTAL UNION 3-1 MGAMBO SHOOTING

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU