Facebook Comments Box

Sunday, January 13, 2013

PETER WA P SQUARE AKIWA MAREKANI NA MTOTO WAKE


Mwimbaji wa kundi la P Square la Nigeria, Peter Okoye alikua California Marekani kwenda kumsalimia mtoto wake wa kiume ambae amepata na girlfriend wake Lara Omotayo ambae kwa sasa yuko San Francisco Marekani na akiwa huko atajifungua mtoto wake wa pili na Peter Okoye mwishoni mwa january 2013.
Kundi la P Square limekataa kupokea mialiko ya showz za january 2013 ili wapumzike kutokana na mfululizo wa show walizopata siku zilizopita.
.
.
.
.

Peter Okoye na baby mama wake Lola Omo

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU