Facebook Comments Box

Sunday, November 4, 2012

YANGA NA AZAM KATIKA PICHA

Kiiza akijaribu bila mafanikio kufunga

Aggrey Morris akiruka juu ya Paul Ngalema kupiga mpira kichwa

Mbuyu Twite akimuacha chini Salum Abubakar

Kiiza akimtoka Hajjji Nuhu

Haruna Niyonzima 

Chuji akijadiliana na Niyonzima kabla ya kupigwa kwa mpira wa adhabu

Kiiza alivyomuenzi Mafisango

Mwadini akidaka mpira hewani 

Simon Msuva anateleza

Mwadini akiruka kupangua mpira

Msuva

Hatari kwenye lango la Yanga

Jabir Aziz akimdhibiti Chuji

Kiiza anapasua katikati ya Ibrahim Shikanda kulia na Sure Boy kushoto 

Nadir Haroub 'Cannavaro' akimdhibiti John Bocco

Hatari kwenye lango la Yanga

Stewart Hall alitia huruma

Frank Domayo kulia akipambana na Aggrey Morris

Niyonzima akipiga shuti mbele ya Shikanda

Twite anapasua

Sure Boy akimtoka Twite

Sure Boy na Twite

Chuji akipiga kisu mbele ya Sure Boy

Msuva anatafuta njia

Shughuli

Yanga wakipiga ndiki kabla ya mechi

Kikosi cha Azam leo

Kiiza anamtoka Erasto Nyoni

Kikosi cha Yanga leo

Hatari kwenye lango la Azam

Hatari kwenye lango la Yanga

Msuva akiwasalimia wenzake benchi baada ya kupumzishwa

Niyonzima kushoto, Nyoni kulia

Kiiza na Hajji Nuhu


Kiiza baada ya kufunga bao la pili


Kavumbangu wa pili kutoka kushoto, akishangilia bao lake na wenzake

Kavumbangu wa kwanza kushoto


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU