Facebook Comments Box

Sunday, November 4, 2012

SHABAN KADO APATA AJALI

 Mchezaji wa simba Uhuru Selemani aandika katika wall yake ya Facebook kuwa mchezaji wa Mtibwa Sugar Golikipa Shaaban Kado amepata ajali Chalinze. Hii labda ndio inayofanya leo asiwepo uwanjani. Blog hii inafuatilia na habari kamili itakupa baada ya muda.
Ndugu zangu mliopo chalinze naomba mfatilie hapo hospitali kado kapata ajari nasim yake haipatikan pls naomba mfatilie atakae kuwa nataarifa aniinbox namba yake sory jaman


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU