Facebook Comments Box

Friday, November 27, 2015

RAIS AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA WA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (T.R.A)


Rais Dk John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa mamlaka ya mapato Tanzania ( TRA) Rished Bade na kumteua Philiph Mpango kukaimu nafasi hiyo.


Taarifa kutoka ikulu zimesema kuwa uamuzi huo wa Rais Magufuli umefuatia ziara ya waziri mkuu bandarini iliyobaini upotevu wa makontena 349.



Aidha Rais Magufuli amemtaka Rished Bade kutoa ushirikiano kwa Philiph Mpango wakati uchunguzi ukiendelea.



RISHED BADE aliyesimamishwa kupisha uchunguzi.
www.facebook.com/eatv.tv


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU