Facebook Comments Box

Friday, November 27, 2015

MBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO KUPITIA CHADEMA ANAEWAKILISHA UKAWA SAID KUBENEA AWATEMBELEA WANANCHI WAKE

Kubenea akizungumza na waandishi wa habari na wananchi katika Soko la Ndizi la Mabibo.

Said Kubenea Mbunge wa jimbo la Ubungo, akiongea na wananchi katika Stendi ya Mabasi ya Ubungo Dar es Salaam kuwashukuru kwa kumchagua na kujua changamoto zao mbalimbali. Mbunge huyo alitembelea Soko la Mabibo, Kituo cha Mabasi cha Mawasiliano.
Hapa akiwaunga mkono wananchi kununua mananasi katika soko la ndizi la mabibo.
Vijana wakiserebuka baada ya kuzungumza na mbunge wao Said Kubenea katika Soko la Mabibo.
Said Kubenea akiwahutubia wananchi katika soko la Mabibo.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU