Facebook Comments Box

Sunday, August 10, 2014

MKANDARASI AWAWEKA WAKAZI KATIKA HATARI YA KUPATA MAGONJWA

Kamera yetu mtaani leo imekutana na tukio hili la mkandarasi huyu ambae anawaweka wakazi katika hatari ya kupata magonjwa.
Mkandarasi anaetengeneza njia ya lions hotel amewaweka watu katika hatari ya kupata magonjwa baada ya kuchimba barabara na kuacha madimbwi ambayo kwasasa yamejaa maji na kuwa mazalia ya vijidudu vya magonjwa.

Picha chini ni barabara hiyo karibu kabisa na Madrasa ya Yusuf

  




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU