Facebook Comments Box

Sunday, August 10, 2014

PICHA ZA MECHI YA NGAO YA JAMII KATI YA ARSENAL NA MAN CITY

Manchester City leo imetoka uwanjani vichwa chini baada ya kupigwa bao tatu kwa bila na Arsenal chini ni picha za matukio ya mechi yote.


Hii ni picha inayo onesha matokeo wafungaji wa magoli na watoaji pasi za mwisho
Uwanja wa Wembley ilipochezwa mechi hiyo

mkongwe wa Arsenal Ian wright akipiga picha "selfie" mbele ya mashabiki wa Arsenal

vicent company na Arsene Wenger


Santi Karzola akifunga goli la kwanza

Ramsey a.k.a Rambo akishangilia goli



Nahodha arteta akimpa pole mchezaji wa Manchester City "No hard feelings"


Mchoro unao onesha goli zuri la Giroud alilofunga leo.

Giroud akishangilia goli

shuti la Giroud lililomshinda kipa wa Manchester City

washabiki wa Arsenal wakishangilia kwa mtindo wa kugeuka nyuma mtindo huu unaitwa kwa jina la Poznan

Washabiki wa Manchester City wakiwa hawaamini walichotendewa


mabingwa ndio hawa

Nahodha Arteta akinyanyua ngao




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU