Facebook Comments Box

Wednesday, September 10, 2014

WAKAZI WA BAGAMOYO NA MAENEO YA JIRANI KUKWEPA FOLENI BAADA YA KIVUKO CHA MV DAR ES SALAAM KUKAMILIKA



Kivuko kipya cha Mv Dar es salaam ambacho kinataraji kutoa huduma zake kati ya Dar es salaam na Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani tayari kimekamilika.

Taarifa za kivuko hicho zilitolewa jana na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli kuwa kivuko kimekamilika nchini Denmark na kimeisha shushwa kwenye maji tayari kuanza safari ya kuja Dar es salaam ili kazi ianze ambapo kinatarajiwa kufika kati ya wiki tatu au nne hivi. 

Kivuko hicho kitakuwa na kasi kuliko kivuko chochote Afrika Mashariki.




 



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU