Facebook Comments Box

Sunday, September 14, 2014

UKICHANGIA DAMU UTAINGIA BURE KUONA YANGA VS AZAM

Kwa watanzania wapenda mpira na wanaopenda kusaidia watanzania wenye magonjwa mbalimbali,waliopata ajali na wamama wajawazito kuepushwa na umauti kwa ukosefu wa damu wataingia uwanjani bure kwa kuchangia damu tu.

Huduma hii ni pale nje ya uwanja wa taifa kabla ya mechi.
Shime tujitokeze kuchangia damu.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU