Facebook Comments Box

Wednesday, September 24, 2014

RONALDO AINGIA NYAVUNI MARA NNE REAL MADRID IKIIKANDAMIZA ELCHE BAO 5 KWA 1

Cristiano Ronaldo ameifungia timu yake ya R.madrid hat-trick baada ya kufunga goli nne peke yake katika ushindi mnono nyumbani dhidi ya bao 1 la Elche, huku Gareth Bale akitangulia kufunga bao moja dakika ya 20 ya mchezo.
 Cristiano Ronaldo akishangilia huku Bale akimfuata nyuma.
 Gareth Bale mfungaji wa bao la kwanza katika mchezo huo.

 

 



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU