Facebook Comments Box

Wednesday, August 13, 2014

VIDEO: JINSI YA KUJIKINGA USIPATE EBOLA

Ugonjwa wa Ebola umezuka Afrika ya Magharibi na kuuwa watu zaidi ya elfu moja na kuwa idadi kubwa zaidi kutokea katika historia ya ugonjwa huo. Shirika la afya duniani limetangaza ugonjwa huo kama janga duniani.
Hapa nchini kwetu tanzania bado haujafika ila kuna taarifa za kuwa nchi jirani kama Rwanda umeshafika. Hapa chini ni video ya jinsi ya kujilinda usipate ugonjwa huo.





CHANZO: BBC SWAHILI



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU