Facebook Comments Box

Wednesday, August 13, 2014

MKOLOMBIA ABAMBWA NA DAWA ZA KULEVYA JULIUS NYERERE AIRPORT

Mkuu wa Kikosi maalumu cha kupambana na dawa za kulevya nchini Bw. Godfrey Nzowa akionesha jinsi raia wa Colombia Andres Filipe Ballesteros mwenye umri wa miaka 28 alivyo ficha dawa hizo aina ya cocain ndani ya Belt ya Suruali yake kama anavyoonekana hapo pichani muda mfupi baada ya kutiwa hatiani uwanjani hapo

Bw. Nzowa akionesha jinsi madawa hayo yalivyo shonewa ndani ya belt ya suruali ya mtuhumiwa ambayo alikuwa ameivaa.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU