Facebook Comments Box

Tuesday, August 19, 2014

KIBAKA ALIETOROKA POLISI AKAMATWA NA WANANCHI


Mwizi aliyetoroka kituo cha akiwa chini ya ulinzi wa raia wenye hasira kali maeneo ya vingunguti msimbazi
.

Raia wakipanga kumchoma moto kibaka huyo.Kibaka aliyetoroka kituo cha polisi Tabata hatimaye kukukamatwa majira ya saa tano asubuhi maeneo ya msimbazi vingunguti na kurudishwa kituoni



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU