Facebook Comments Box

Monday, May 5, 2014

USTAADH ILUNGA HASSAN KAPUNGU AFARIKI DUNIA

Nchi ya Tanzania imezizima kwa huzuni baada ya mwanaharakati wa kiislam Ustaadh Ilunga Hassan Kapungu kuaga dunia jana kwenye saa tano usiku.

Mwili wa marehemu utaswaliwa leo Alasir katika msikiti wa kichangani magomeni. Mwili utazikwa kwenye makuburi ya Mwinyi mkuu

Inna lilayh wa inna ilayhi rajiuun.

Allahuma ghfirlahu warhamhu waskanahu filjannah




Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU