Facebook Comments Box

Monday, May 5, 2014

MAELFU NA KIONGOZI WA SERIKALI WAMZIKA SHEIKH ILUNGA.

Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif akikaribishwa katika msikiti wa kichangani
Maelfu ya waumini wa dini ya kiislam akiwemo makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif wamehudhuria mazishi ya mwanaharakati na mpiganiaji haki wa kiislam Ustaadh Ilunga Hassan Kapungu.
Chini ni gari la Maalim Seif likiingia viwanja vya msikiti wa kichangani magomeni Dar es salaam

waumini wakizika mwili wa sheikh Ilunga Hassan Kapungu
Jeneza lililombeba sheikh Ilunga likiingizwa msikitini kwa ajili ya Sala ya mwisho


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU