Facebook Comments Box

Friday, April 11, 2014

PICHA: ARSENAL WAKIJIFUA MARA YA MWISHO KABLA YA MECHI YA KESHO

Wachazaji walio kuwa na majeruhi imetaarifiwa kuwa watacheza mechi ya kesho japokuwa wakati wa mkutano na waandishi wa habari kocha Arsène Wenger alisema wapo katika hatihati. Wachezaji hao ni Tomas Rosicky, Alex Oxlade-Chamberlain na Kieran Gibbs

Kabla ya mechi hiyo itakayo rindima kwenye uwanja wa wembley kutakuwa na kisimamo cha heshima cha dakika moja kuwakumbuka walio pata maafa kwenye Hillsborough.

Chini ni picha za wachezaji wa Arsenal wakijinoa.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU