Facebook Comments Box

Friday, November 8, 2013

BREAKING NEWS: KOCHA MKUU WA AZAM AJIUZURU BAADA YA SARE YA 3 -3 CHAMAZI

Kocha muingereza stewart hall ametangaza
kujiuzuru kufundisha klabu ya Azam fc baada
ya kukubalina na wamiliki wa timu hiyo,
stewart aliwaaga benchi la ufundi na
wachezaji mara baada ya mechi na Mbeya
city
Stewart'' ni kweli nimewaaga wachezaji na
benchi la ufundi wenzangu, inabidi niondoke
kwa sababu nimepata kazi sehemu nyingine
na wamiliki wa timu wameridhika, nawatakia
kila la kheri''.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU