Facebook Comments Box

Sunday, November 3, 2013

ARSENAL YAIZABA LIVERPOOL KWA MABAO 2 KWA BILA NA KUJIKITA KILELENI

Timu ya Arsenal Imeibamiza Liverpool kwa jumla ya mabao 2 kwa bila katika Uwanja wa Emirates na kujikusanyia point zote tatu na kujikita kileleni na kuendelea kuongoza ligi hiyo ya Uingereza. Mabao yaliyoipa ushindi timu hiyo yaliwekwa kimiani na Santi Cazorla pamoja na Aaron Ramsey.

Arsenal walimiliki mpira mwanzo mpaka mwisho wa mchezo huo ambapo Washambuliaji wa Liverpool Luis Suarez na Dan Sturredge hawakufua dafu kwa mabeki wa watoto wa Jiji la London.

Vikosi vilikuwa kama ifuatavyo:

Arsenal:

Liverpool:  



Par Metasacker akimuangalia Suarez pamoja na Sagna katika moja ya heka heka za mpambano huo.
Hi-res-186633882-kolo-toure-of-liverpool-marshalls-olivier-giroud-of_crop_north Olivier Giroud akichanja mbuga huku Kolo Habib Toure akimfuata kwa karibu.

Ozil akimpongeza Aron Ramse kwa kuifungia Arsenal bao la Pili katika mchezo huo. 

POS
LP CLUB P W D L GF GA GD PTS
1 (1) Arsenal 10 8 1 1 22 9 13 25
2 (2) Chelsea 10 6 2 2 16 8 8 20
3 (3) Liverpool 10 6 2 2 17 10 7 20
4 (7) Manchester City 10 6 1 3 28 11 17 19
5 (5) Southampton 10 5 4 1 11 4 7 19
6 (4) Tottenham Hotspur 9 6 1 2 9 5 4 19
7 (6) Everton 9 5 3 1 14 10 4 18
8 (8) Manchester United 10 5 2 3 17 13 4 17
9 (11) Newcastle United 10 4 2 4 14 16 -2 14
10 (10) Hull City 10 4 2 4 8 10 -2 14
11 (12) West Bromwich Albion 10 3 4 3 10 10 0 13
12 (9) Swansea City 9 3 2 4 12 11 1 11
13 (13) Aston Villa 10 3 2 5 9 12 -3 11
14 (15) West Ham United 10 2 4 4 8 8 0 10
15 (14) Fulham 10 3 1 6 10 15 -5 10
16 (17) Stoke City 10 2 3 5 7 11 -4 9
17 (16) Cardiff City 9 2 3 4 8 13 -5 9
18 (18) Norwich City 10 2 2 6 6 20 -14 8
19 (19) Sunderland 10 1 1 8 7 22 -15 4
20 (20) Crystal Palace 10 1 0 9 6 21 -15 3
POS
LP CLUB P W D L GF GA GD PTS


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU