Facebook Comments Box

Wednesday, October 9, 2013

ANGALIA DIAMOND ALICHOSEMA KUHUSU KURUDIANA KWAKE NA WEMA


Diamond akimkiss Penny kuonesha mapenzi yao
Katika siku za hivi karibuni katika magazeti mbali mbali ya hapa Bongo pamoja na mitandaoni kumekuwa na habari inayosema kuwa Naseeb Abdulmalik "Diamond" amerudiana na aliyekuwa mpenzi wake ambaye aliachana nae kutokana na mwana dada huyo Wema  Sepetu kukosa uaminifu katika mapenzi yao.
 
Taarifa zaidi zilisema kuwa Wema na Diamond walikutana Dubai wakati Diamond akienda Indonessia na Wema akielekea Hong kong na kula bata sana tu na kuashiria kuwa wamerudiana.
 
Lakini Diamond ameeleza kwenye Blog yake This is Diamond habari yote kama ifuatavyo:-
 
"Kumekuwa na Uvumi na Habari nyingi sana 
Mitandaoni na Kwenye Media tofauti... kwamba mimi na Mwanadada Wema Sepetu tuna mahusiano ya Kimapenzi, kitu
 ambacho Sikweli na taarifa hizo ni za uongo.. uvumi huu ulianza kisa tu yeye kucomment kwenye Account yangu ya Instagram?..
 
Hebu tujifunze kubadilika, inamaana watu mkiwa hamko kimahusiano ya Mapenzi basi msizungumze ama Kushiriki kwa chochote? Futeni huo uzamani na Mbadilike, inamaana
 
Mnapenda kuona watu wanauadui... nimuda wa kufanya kazi ili Kulipa sifa na heshima Taifa la Tanzania na si kuwekeana chuki zisizo na faida.." alisema Diamond.
Diamond akiwa na Penny



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU