Facebook Comments Box

Tuesday, August 20, 2013

YANGA YABURUZA MKIA KATIKA MSIMAMO WA LIGI KUU YA TANZANIA BARA:

Kabla ya kuanza kwa Msimu wa ligi ya Vodacom Tanzania Bara msimamo huwa kama unavyoonekana hapo pichani, timu zimepangwa kwa kufuata mtiririko wa majina (Alphabetic Order) kwamba timu zenye herufi 'A' huwa zakwanza kama wanavyo onekana ASHANTI ya Ilala wakiwa juu kabisa ya msimamo huo wakati Mabingwa wa mwaka jana 2012 / 2013 YANGA wao wakiwa wanaburuza mkia.

Lakini mambo hugeuka pindi mtanange huo unaotarajiwa kuanza rasmi siku ya Jumamosi ya tarehe 24/08/2013 ambapo Ratiba ya siku hiyo timu zote 14 zitakuwa uwanjani kama ifuatavyo:-

YANGA vs ASHANT(U/Taifa), MTIBWA vs AZAM(Manungu), JKT OLJORO vs COASTAL UNION(Sh. Amri Abeid), MGAMBO JKT vs JKT RUVU(Mkwakwani), R.RANGERS vs SIMBA(Ally H.Mwinyi), MBEYA CITY vs KAGERA SUGAR(Sokoine), R.SHOOTING vs PRISONS(Mabatini).  





Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU