Facebook Comments Box

Tuesday, August 20, 2013

PICHA: WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA SKOL WAKIFANYAKAZI BILA VIFAA MAALUMU VYA KAZI

Picha chini ni wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Skol ambao kwa sasa wanatengeneza barabara ya tabata wakiwa wanasafisha barabara eneo la tabata posta bila vifaa vya kuzuia vumbi puani mwao.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU