Facebook Comments Box

Friday, August 16, 2013

VIDEO: KIJANA AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA UWANJA WA NDEGE WA DAR ES SALAAM

Siku moja baada ya ziara ya kushtukiza ya waziri wa uchukuzi Dk. Harison Mwakyembe, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar-es-Salaam, kiasi kikubwa cha dawa za kulevya kimekamatwa uwanjani hapo katika harakati za kusafirishwa kwenda nchi za nje.


 Chuma Kikikatwa ili kutoa Heroin iliyofichwa ndani yake.
Heroin ikionekana baada ya Chuma kukatwa kama unavyoona hapo pichani.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU