Facebook Comments Box

Thursday, August 29, 2013

TUNAOMBA UTUPIGIE KURA YAKO ILI TUWE WASHINDI KWENYE MASHINDANO YA BLOG TANZANIA



Wasomaji na wafuatiliaji wa blog ya kitongoni.blogspot.com tunapenda kuwafahamisha kuwa Blogu yetu itashiriki katika shindano la blog Katika vipengele Vifuatavyo

1.Best Entertainments
2.Best News Blog
3.Best Educational Blog
4.Best General Blog
5.Best Newcomer Blog
6.Best Religion Blog
7.Best Sports Blog

 Jinsi ya kufanya
 
Nenda sehemu ya kuandika ujumbe (email), yaani sehemu ya Email yako unapo compose kisha Andika 
Subject:- http://kitongoni.blogspot.com/
Sehemu ya kuandika ujumbe/Post:-  Andika hivi vipengele

1.Best Entertainments
2.Best News Blog
3.Best Educational Blog
4.Best General Blog
5.Best Newcomer Blog
6.Best Religion Blog
7.Best Sports Blog

Kwa maelezo zaidi na vipengele vingine ingia/bofya tanzanianblogawards
 
UNAWEZA KUFANYA YAFUATAYO 

Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
Kwa mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza  yaani www.kitongoni.blogspot.com

 
Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa


nomination@bloggersassociationoftanzania.com
    au tanzanianblogawards@gmail.com
 
Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 02/9/2013 saa 11:59pm saa za Afrika mashariki
 
UKIWA KAMA MPENZI NA MFUATILIAJI WA BLOG YETU HII TUNAOMBA UTUME MARA NYINGI UWEZAVYO ILI TUWEZE KUINGIA KWENYE MASHINDANO HAYA NA KUIBUKA WASHINDI,TUNATANGULIZA SHUKRANI ZETU.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU