Facebook Comments Box

Thursday, August 29, 2013

PICHA: SAMUEL ETO`O ASAINI CHELSEA

Samuel Eto`o akionesha jezi yake baada ya kusajiliwa kwa mwaka mmoja akitokea kilabu cha Anzhi Makhachkala.

Samuel Eto`o (32) akionesha jezi ya Chelsea baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja na kilabu hicho cha London



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU