Facebook Comments Box

Sunday, August 11, 2013

TAARIFA YA KIKAO MSIKITI WA MTAMBANI LEO KUELEZEA HALI YA SHEIKH PONDA

Amir Kundecha
 
Bismillahir Rahmanir Rahiim 
TAARIFA
Taarifa rasmi kuhusu hali ya Sheikh Issa Ponda itatolewa leo (Jumapili) Al'asiri msikiti wa mtambani, jijini Dar-es-salaam. Pamoja na taarifa hiyo, Amiri wa Baraza Kuu, Sheikh Mussa Kundecha atazungumza na vyombo vya habari Insha-Allah muda na mahali hapo hapo.

Wabillah Taufiiq
11 Agosti, 2013


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU