Facebook Comments Box

Tuesday, August 13, 2013

PICHA: MUME WAKE JOYCE KIRIA AFIKA JIJINI DAR ES SALAAM


M4C ikiingia Dar kutokea Tabora kupitia Igunga...
Pella Ngunangwa dereva makini wa CHADEMA (papaa Pella mutu ya watu imechoka sana jicho nyanya) kaendesha usiku kucha jumlisha jana yake tulikuwa na pilikapilika za kuhakikisha watu wetu wanapelekwa Igunga
Hellen Baja, mfanyakazi mwenzake walikuja kuwapokea maeneo ya Mbezi

Papaa Pella na Wakili PK, wakiingia Dar 
Booooooom. wakafika nyumbani....
kama haaimini vile....
Oh My God...
I dont Believe ...
Thank you God. you are so wonderful
Welcome back sweet heart
Kila mtu anataka kum'beba baba Lincon
Ngoja niwaone wanangu..
Hongera sana Wakili PK, wewe ni noumaaaaaaaaaa
Karibu mume wangu, watoto wako hawa hapa
KILEWO: Oh God, asante kwa kuitunza familia yangu 
Wakili PK: Watoto wazuri nimewaletea baba yenu kama nilivyomwahidi mama yenu na watanzani
furaha kuipata familia ikiwa salama
Wakili: Ni faraja sana kwangu ninapoona Mungu ameniongoza kuleta furaha tena kwenye familia kama hivi
Oh my God, we are so much Happy
cameraman Prospa Njau na Wakili PK
Final i have my kids, niliwamiss sana wanangu , namshukuru sana Mungu kwa kunisimamia
Tumaini Makene afisa habari wa CHADEMA akiwa na mfanyakazi mwenzangu Hellen Baja
Namshukuru Mungu kwa watoto hawa wazuri pamoja na mama yao ambae alijitahidi sana kuangalia familia nilipokuwa Jela
Baada ya mapokezi, Hellen akiwa ameweka pooz home..


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU