Facebook Comments Box

Tuesday, August 13, 2013

CHID BENZ AKIRI KUTUMIA MADAWA

Ile orodha ya wasanii ambao walijiingiza katika matumizi ya madawa na kuacha kwa manufaa ya afya yao na maisha yameongezeka leo baada ya msanii Chid benz kukiri kuwa alikuwa anatumia na ameamua kuacha.
Akiwa katika kipindi cha XXL cha clouds fm msanii Chid Benz amesema alikutana na Msanii Nonini Kenya ambaye yeye si mtumiaji wa pombe sana alipomshauri na kumuambia kuwa anaweza akapata tiba na kuacha kutumia madawa.
Chid anasema ameona wasanii wengi waliokuwa wakijitangaza kuwa wameacha lakini wakarudia kutumia tena ila kwake yeye hataki hilo litokee.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU