Facebook Comments Box

Monday, July 1, 2013

HUYU NDIO MWANAFUNZI ALIE FUMANIWA GUEST HOUSE NA WAZAZI WAKE

Mwanafunzi mmoja amefumaniwa katika nyumba moja ya wageni (guest house) hapo jana, tarehe 29/6/2013 majira ya saa nane mchana katika eneo la Yombo Vituka jijini Dar es salaam.

Hata hivyo mfumaniwa mwenzake hajakamatwa kwani aliponyoka na kukimbia.

(Picha zote na maelezo yameletwa na Dei Misana)
Picture
Wazazi wa uchungu na hasira wakiwa na binti yao mara baada ya fumanizi.
Picture
Hii ndio sura halisi ya binti aliyefumaniwa.
Picture
Chumba kilichotumika kwa kwa mwanafunzi huyo, mwenzake kufanyia ufuska.
Picture
Wazazi wakimpiga binti yao kwa uchungu na hasira mara baada ya fumanizi.

Source: WAVUTI


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU