Facebook Comments Box

Saturday, July 27, 2013

ACHOMA NYUMBA MOTO KWA KUNYIMWA PENZI NA SHEMEJI

Polisi mjini Bomet, Kenya wanamtafuta mwanaume mmoja aliyetajwa kwa jina moja tu la Robert, mwenye umri wa makamo kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya kaka yake moto na kukimbia, kwa hasira za kunyimwa ngono na mke wa kaka yake.

Kwa mujibu wa taarifa za Chifu wa Merigi, Richard Kiprono Lang’at, mtuhumiwa alitumia mwanya wa kaka yake anayetumikia kifungo gerezani, kumhadaa na kumtongoza shemeji yake.

“The woman’s husband is serving a life sentence in Naivasha Maximum Prison after he was found guilty of defilement,” “His brother has, however taken advantage of his absence to demand sex from the woman,”  alisema Lang’at.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU