Facebook Comments Box

Friday, June 21, 2013

PICHA: MBOWE NA LEMA WALIVYO JISALIMISHA POLISI JANA


MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akitoka Polisi baada ya kuhojiwa.


MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akiongozana na Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema wakitoka Polisi baada ya kuhojiwa.
Mwenyekiti wa CHADEMA Fremaan Mbowe pamoja na mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema jana wamejisalimisha polisi kufatia tamko la jeshi la polisi kusema kuwa linawasaka waheshimiwa hao
akingea na waandish wa habari mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Fremaan Mbowe alisema kuwa wao wamejisalimisha kama polisi walivyosema wanawatafuta na walipofika waliandika maelezo ambapo alisema kuwa polisi waliwaita kwa mambo mawili moja likiwa ni kwa kuwaoji kwanini walifanya mkutano pasipokuwa wa halali ambapo alisema kuwa
"jambo la kufanya mkutano pasipo kuwa halali sio kweli kwani polisi walituruhusu tukafanye mkutano katika sehemu hile lakini kinachotushangaza tumefanya wamekuja kutupiga mabomu nakusema sio wa halali na kuhusiana na ushaidi msimamo wangu upo pale pale tunao ushaidi wa kutosha na tunamjua aliyerusha bomu siku ya jumamosi lakini hatuta utaoa hadi pale Rais atakapo unda tume huru ya majaji ili wafatilie swala hili hao ndo tutawaonyesha ushaidi wetu lakini polisi hatuwezi kuwapa "hii ni kauli ya mbowe
chagonja akiongea na waandishi wa habari
kwa upande wa kamishana wa mafunzo na uperesheni ya kijeshi Paul Chagonja akiongea na waandishi yeye alisema kuwa wamekuja wamewaoji na kuwaomba ushaidi huo lakini waeshimiwa hawa hawakuwaonyesha ushirikiano
"mbowe alisema kuwa anaushaidi na hata katika vyombo vya habari ametangaza lakini nacho shangaa tulivyomuuliza hapa amesema kuwa hana ushaidi wowote na wala ajawai kutamka hivyo sasa sisi kwakuwa kasema hivyo nitakaa na makachero wangu na tutaangalia jinsi ya kufanya"alisema chagonja
Aidha alisema kuwa alimuliza mbunge wa Arusha mjini kwanini awali alikuja na kuwasifia polisi baadae akaja kuegeuka na wakati alisema kuwa awezi sema uwongo na akasema yeye anafata mwenyekiti wake anachosema.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU