Facebook Comments Box

Wednesday, June 5, 2013

KOCHA WA YANGA AWASILI KWA AJILI YA KUINOA TIMU KWA AJILI YA MSIMU MPYA

Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mholanzi Ernie Brandts (kulia) baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam usiku wa leo akitokea kwao Uholanzi kwa mapumziko mafupi baada ya kumaliza msimu, tayari kuanza maandalizi ya kikosi chake kwa msimu mpya. Aliyemlaki kushoto ni Meneja wa Yanga SC, Hafidh Saleh.

Anaondoka Airport 

Baada ya kutua, kitu cha kwanza aliwasha simu yake

Anafungua mlango wa gari lake apakie mizigo

Anafungua mlango wa nyuma apakie mizigo

Hahitaji msaada wa mtu, anapakia mwenyewe

Anafunga mlango baada ya kupakia

BIN ZUBEIRY anaondoka baada ya kumaliza kazi yake

Brandts naye anapanda gari lake

Anapiga stata...


Anaondoka Airport 


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU