Facebook Comments Box

Saturday, May 4, 2013

MTANDAO WA GOOGLE WAITAMBUA RASMI PALESTINA KAMA NCHI

Screenshot of Google Palestine
Mtandao wa Google umeamua kuizidi Umoja wa Mataifa baada ya yenyewe kuanza kuitambua Palestina kama nchi rasmi. Hawakutoa taarifa rasmi ila ni baada ya kuona nembo iliyopo chini ya Google.

Hii picha ni ya mwanzo kabla Google haijaitambua Palestina kama nchi kwa chini ikiwa imeandikwa mipaka ya Palestina kwa Lugha adhimu ya Kiarabu
Na hapa ikisoma kama nchi.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU