| Haruna Shamte akipambana na Simon Msuva wa Yanga. | 
![]()  | 
| Nahodha wa Yanga Nadir Haroub akinyanyua ubingwa wa ligi kuu ya VODACOM msimu wa 2012/2013 | 

| kikosi cha Simba kilichoanza hii leo. | 
| Makocha wa Yanga Ernest Brandts pamoja na Felix Minziro wakijadiliana jambo. | 
| Sir Juma Nature pia alikuwepo kutoa burudani. | 

| Hili ndo lilikuwa bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Didier Kavumbagu kwa kichwa. | 
| Mrisho Ngassa akiwa amevalishwa jezi ya YANGA kwa mara nyingine tena huku akiwa amefurahi kweli kweli. | 
| Mwamuzi wa mchezo wa leo Saanya akiwa chini mara baada ya kuumia. | 
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
