Facebook Comments Box

Saturday, May 18, 2013

MPAMBANO WA YANGA NA SIMBA KATIKA PICHA


Haruna Shamte akipambana na Simon Msuva wa Yanga.
   
Nahodha wa Yanga Nadir Haroub akinyanyua ubingwa wa ligi kuu ya VODACOM msimu wa 2012/2013
   


kikosi cha Simba kilichoanza hii leo.
  
Makocha wa Yanga Ernest Brandts pamoja na Felix Minziro wakijadiliana jambo.
   




Sir Juma Nature pia alikuwepo kutoa burudani.
   




  Hili ndo lilikuwa bao la kwanza la Yanga lilifungwa na Didier Kavumbagu kwa kichwa.

Mrisho Ngassa akiwa amevalishwa jezi ya YANGA kwa mara nyingine tena huku akiwa amefurahi kweli kweli.
  



Mwamuzi wa mchezo wa leo Saanya akiwa chini mara baada ya kuumia.
   

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU