Facebook Comments Box

Sunday, March 10, 2013

SAFARI YA UHURU KENYATA KUINGIA IKULU YAIVA



Mhe Uhuru Muigai Kenyatta akionesha hati aliyokabidhiwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa Kenya jana katika ukumbi wa Bomas na kutangazwa kuwa Rais wa nne wa nchi hiyo. Mpinzani wake Mhe Raila Odinga amekataa kukubali matokeo hayo na kuonesha nia ya kwenda kuyapinga mahakamani.

Walinzi wakiwa wamelizingira gari lililombeba Rais mteule wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta alipokuwa akiwasili Bomas of Kenya mara baada ya kutangazwa mshindi.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU