Facebook Comments Box

Thursday, March 28, 2013

MBUNGE WA CHAMBANI SALIM HEMED KHAMIS AMEFARIKI DUNIA

Mbunge wa Chambani Salim Hemed Khamis,amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .Taratibu za kuusafirisha mwili kuelekea Pemba kwa mazishi zinafanyika.

INNA LI LAHI WA INNA ILAIHI  RAJIUUN
Breaking News:Mbunge wa Chambani  Salim Hemed Khamis,amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .Taratibu za kuusafirisha mwili kuelekea Pemba kwa mazishi zinafanyika.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU