Facebook Comments Box

Sunday, February 10, 2013

CHADEMA WAFUKUZA WENGINE MOROGORO


Ndugu Amani Mwaipaja


Chama cha Demokrasia na maendeleo chadema mkoa wa morogoro kimemfukuza uanachama aliyekuwa mgombea Ubunge wa jimbo la morogoro mjini na mwanasheria wa chama hicho mkoa wa morogoro Amani Mwaipaja  wakimtuhuni kutumika kukivuruga chama hicho wakati huu wa vuguvugu la Kuimarisha  vyama vya siasa kuelekea uchaguzi wa viongozi wa serikaliza mitaa na vijiji mwaka 2014 na uchaguzi mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani mwaka 2015.

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU