Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Liberatus Sabas akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kukamata madawa ya kulevya aina ya Mirungi viroba 202 katika eneo la Engikareti lililopo wilayani Longido Mkoa wa Arusha.
   Baadhi wa askari wa jeshi la polisi wakiharibu madawa ya kulevya aina ya mirungi kwa kuikata kata na kisha kuimwagia mafuta. Mirungi hiyo ilikamatwa katika eneo la Engikareti lililopo katika wilaya ya Longido Mkoani Arusha.(Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)