Kamanda
 wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Liberatus 
Sabas akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kukamata madawa ya 
kulevya aina ya Mirungi viroba 202 katika eneo la Engikareti lililopo 
wilayani Longido Mkoa wa Arusha.
   Baadhi
 wa askari wa jeshi la polisi wakiharibu madawa ya kulevya aina ya 
mirungi kwa kuikata kata na kisha kuimwagia mafuta. Mirungi hiyo 
ilikamatwa katika eneo la Engikareti lililopo katika wilaya ya Longido 
Mkoani Arusha.(Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)
Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog