Facebook Comments Box

Tuesday, November 6, 2012

KATIBU WA MUFTI ZANZIBAR AMWAGIWA TINDIKALI

Watu mbalimbali wakiaangalia Katibu wa mufti Zanzibar Fadhili Soraga akipelekwa Hospitali baada ya kumwagiwa Tindikali na watu wasiojulika. Katibu alikuwa akifanya mazoezi kwenye viwanja vya mwanakwerekwe

Hapa akipelekwa kwenye chumba cha huduma ya kwanza hospitali ya mwanakwerekwe

Hapa akipandishwa kwenye gari ili awahishwe Muhimbili Hospital dar es Salaam


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU