Facebook Comments Box

Thursday, November 8, 2012

AZAM YASIMAMISHA WACHEZAJI BAADA YA KIPIGO CHA SIMBA

Azam imeonekana kuingia katika mgogoro na wachezaji wake mahiri kwa madai kuwa walipewa pesa ili kuihujumu timu yao ili ifungwe na simba. Timu hiyo ilifungwa 3 kwa 1 na simba. Wachezaji walio simamishwa ili kupisha uchunguzi ni 1. Erasto Nyoni 2. Said Moradi 3. Deograatius Munishi a.k.a Dida

Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU