Facebook Comments Box

Thursday, November 8, 2012

MAHAKAMA KUU YATOA UAMUZI KESI YA LEMA

IMG-20121108-WA0007
IMG-20121108-WA0006
Baadhi ya wananchi, wapenzi wa Chadema wakimlaki Mh Lema mara baada ya kuwasili katika viwanja vya mahakama.
IMG-20121108-WA0004
Jopo la Majaji likiwa tayari kuanza kazi
IMG-20121108-WA0003Kutoka kushoto, Henry Kileo, Nuru Ndosi na Mh Godbless Lema
IMG-20121108-WA0002Henry Kileo akiwa ndani ya ukumbi wa Mahakama Kuu, Dar es Salaam
IMG-20121108-WA0005Katibu wa Chadema Kanda ya Kinondoni, Henry Kileo (kushoto) akibadilishana mawazo na mdau wa Chadema mara baada ya kuwasili viwanja vya Mahakama Kuu
IMG-20121108-WA0008
IMG-20121108-WA0009
Wananchi na viongozi wakiingia kuandikisha chumba cha mapokezi katika Ofisi ya Chadema Kinondoni, Dar es Salaam.
IMG-20121108-WA0010Picha tatu za mwisho, baada ya shauri kuamuliwa, Mh Lema akiwashukuru wananchi waliojitokeza katika ya ofisi ya Chadema  Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Pingamizi lililowekwa na upande wa wajibu rufani kupitia Wakili wao Alute Mughwai  ili rufaa ya Lema kupinga kuvuliwa ubunge isisikilizwe limetupiliwa mbali na Mahakama ya Rufaa baada ya kuridhika kwamba kosoro zilizolalamikiwa zilikuwa kwa upande wa Mahakama.
Pia kifungu kilichomhukumu Lema kina makosa hivyo kesi itatajwa tena baada ya siku 14 kwa ajili ya kuendelea kusikiliza hoja za walio kata rufaa.



Wadaiwa kwenye shauri hilo ni wanachama watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mussa Mkanga, Agness Mollel na Happy Kivuyo, waliofungua shauri lililotengua ubunge wa Lema wakidai kuwa wakati wa kampeni alimdhalilisha mgombea wa CCM, Dk. Batilda Burian kwa kutumia lugha za matu
Lema anawakilishwa na Wakili Method Kimomogoro, anayesaidiana na Tindu Lissu.


Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU