Facebook Comments Box

Tuesday, March 10, 2015

MANCHESTER UNITED YATOLEWA NA ARSENAL F.A CUP OLD TRAFFORD

 Monreal akishangilia bao lake
 Danny Wellbeck akiifunga timu yake ya zamani bila huruma
 Angel Di maria akioneshwa kadi nyekundu na Mwamuzi baada ya kupata kadi mbili za njano, wakati timu yake ilipotolewa na Arsenal katika kombe lenye hadhi kubwa nchini Uingereza la F.A kwa kufungwa mabao mawili kwa moja(1-2).
Sant Carzola na Laurent Koscielny wakishangilia baada ya kipyenga cha kuashiria kuwa dakika 90 zimekamilika.

Kocha wa zamani wa Manchesta Utd Alex Furgasson alikuwepo uwanjani hapo kushuhudia timu yake ikifungwa katika kombe hilo lenye hadhi kubwa Uingereza.



Facebook Comments Plugin Enhanced by Kitongoni blog
 

USISAHAU KU LIKE PAGE YETU